Nenda kwa yaliyomo

Peni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Peni

Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.

1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo

2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba

1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.