Nenda kwa yaliyomo

Meinolfi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Meinolfo alivyochorwa.

Meinolfi (pia: Meinolf, Meinolfus, Meinulfus, Meinulphus, Magenulphus; 795 hivi - Böddeken, 5 Oktoba 857) alikuwa shemasi tena shemasi mkuu wa jimbo la Paderborn aliyeanzisha monasteri ya mabikira alipofariki [1].

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Oktoba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Gobelin Person: Vita Sancti Meinulfi, um 1415/1420 (Lebensbeschreibung des Heiligen Meinolf)
  • Wilhelm Schmidt: Leben des heiligen Meinolph, Diakonus an der Kirche zu Paderborn, Stifter des Klosters Böddeken (793– 857). Paderborn 1884 (ULB Münster)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.